JOJO ALL DECO

JOJO ALL DECO Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from JOJO ALL DECO, Home decor, Dar es Salaam.

🔥 GLOVES ZA KUSHIKIA SUFURIA ZA MOTO – USALAMA NA RAHA JIKONI! 🔥Je, umechoka kuungua mikono unapopika?Suluhisho limefika...
05/05/2026

🔥 GLOVES ZA KUSHIKIA SUFURIA ZA MOTO – USALAMA NA RAHA JIKONI! 🔥

Je, umechoka kuungua mikono unapopika?
Suluhisho limefika! 👇

🧤 Gloves zetu maalum:
✅ Zinazuia joto kali kabisa
✅ Zinatengenezwa kwa ubora wa hali ya juu
✅ Zinakaa vizuri mkononi – hazitelezi
✅ Zinadumu kwa muda mrefu

💡 Zafaa kwa:
✔️ Kupika jikoni
✔️ Kuchoma nyama (BBQ)
✔️ Kuoka mikate na keki
@10,000/=tsh 2pcs
📍Tunapatikana Kariakoo mtaa wa Agrey na Sikukuu
❗️Mikonai tunatuma kwa gharama za mteja, malipo Ni baada ya mzigo kufika. Dar es Salam tunafanya delivery 🚛 📦 kwa gharama za mteja
Wa.me/225658115971
KARIBUNi NA ASANTENI🙏

07/03/2026

🥚🔥 EGG BOILER – Chemsha Mayai kwa Urahisi na Haraka!

Unachoka kusubiri maji yachemke au mayai kupasuka wakati wa kupika?
Egg Boiler ndiyo suluhisho la kisasa kwa jikoni yako!

✨ Inachemsha mayai kwa dakika chache tu
✨ Inaweza kupika mayai mengi kwa wakati mmoja
✨ Rahisi kutumia – weka maji, weka mayai, washa tu
✨ Inaokoa muda na umeme
✨ Rahisi kusafisha
Sasa pata mayai yaliyochemka perfect kila wakati bila usumbufu!
PRICE:35,000/=
📍Tunapatikana Kariako Mtaa wa Agrey na Sikukuu
🔺Kikoani tunatuma kwa gharama mteja, malipo ni baada ya mzigo kufika, Dar es Salaam tunafanya delivery 🚚 📦 kwa gharama za mteja
KARIBUNI NA ASANTENI🙏
Wa.me/255658115971

07/03/2026

✅Drain Clog remover/Zibua chemical✅
Ni dawa yenye nguvu iliyoundwa kuyeyusha uchafu unaoziba mabomba ya jikoni, bafuni, au chooni.
Kazi yake kuu:
• Kuyeyusha mafuta (grease), nywele, mabaki ya chakula, na karatasi za chooni.
• Kuondoa harufu mbaya kwenye mabomba.
• Kuua wadudu na vimelea vinavyoishi kwenye mitaro ya maji machafu.
*Namna ya kuitumia (Hatua kwa hatua)*:
• Punguza maji yaliyotuama kwenye tundu la bomba.
• Mimina vijiko 2-3 vya unga (au robo chupa) kwenye tundu.
• Ongeza maji kidogo ya uvuguvugu ili kuanzisha mapovu.
• Acha dawa ifanye kazi kwa dakika 30 mpaka 60 (au usiku kucha).
• Safisha bomba kwa kumimina maji mengi.
PRICE👇
@20,000/=-*(260 gram)*
@15,000/=-*(110 gram)*
📍Tunapatikana Kariako Mtaa wa Agrey na Sikukuu
🔺Kikoani tunatuma kwa gharama mteja, malipo ni baada ya mzigo kufika, Dar es Salaam tunafanya delivery 🚚 📦 kwa gharama za mteja
KARIBUNI NA ASANTENI🙏
Wa.me/255658115971

✅Tray Nyeusi✅Price: 35,000/=📍Tunapatikana Kariako Mtaa wa Agrey na Sikukuu 🔺Kikoani tunatuma kwa gharama mteja, malipo n...
03/03/2026

✅Tray Nyeusi✅
Price: 35,000/=
📍Tunapatikana Kariako Mtaa wa Agrey na Sikukuu
🔺Kikoani tunatuma kwa gharama mteja, malipo ni baada ya mzigo kufika, Dar es Salaam tunafanya delivery 🚚 📦 kwa gharama za mteja
KARIBUNI NA ASANTENI🙏
Wa.me/255658115971

✅Multi Layer Floor Shoes Rack✅Size:6 LayersDimension:135*28*110cmPrice:65,000/=📍Tunapatikana Kariako Mtaa wa Agrey na Si...
27/02/2026

✅Multi Layer Floor Shoes Rack✅
Size:6 Layers
Dimension:135*28*110cm
Price:65,000/=
📍Tunapatikana Kariako Mtaa wa Agrey na Sikukuu
🔺Kikoani tunatuma kwa gharama mteja, malipo ni baada ya mzigo kufika, Dar es Salaam tunafanya delivery 🚚 📦 kwa gharama za mteja
KARIBUNI NA ASANTENI🙏
Wa.me/255658115971

🔺DOOR SELLERS🔺✅Inazuia vumbi ,wadudu kuingia ndani✅PRICE: 10,000/=📍Tunapatikana Kariako Mtaa wa Agrey na Sikukuu 🔺Kikoan...
20/02/2026

🔺DOOR SELLERS🔺
✅Inazuia vumbi ,wadudu kuingia ndani✅
PRICE: 10,000/=
📍Tunapatikana Kariako Mtaa wa Agrey na Sikukuu
🔺Kikoani tunatuma kwa gharama mteja, malipo ni baada ya mzigo kufika, Dar es Salaam tunafanya delivery 🚚 📦 kwa gharama za mteja
KARIBUNI NA ASANTENI🙏
Wa.me/255658115971

16/02/2026

🥬VEGETABLES TABLE CUTTER 🥬3 in 1
Linakuja na
🥕. Bakuli yake
🫑. Chujio
🥒. Slicer
🔺Hii offer sio ya kukosa na hii Vegetables cutter ni must have 👌maboss🤗
PRICE: 25000/=
📍Tunapatikana Kariako Mtaa wa Agrey na Sikukuu
🔺Kikoani tunatuma kwa gharama mteja, malipo ni baada ya mzigo kufika, Dar es Salaam tunafanya delivery 🚚 📦 kwa gharama za mteja
KARIBUNI NA ASANTENI🙏
Wa.me/255658115971

*  Line Non stick Sole plate Dry Iron*Made in India🇮🇳 ✅ Nguvu: *750W* ✅ Aina: Pasi ya kawaida (Dry Iron) ✅ Sahani ya chi...
14/02/2026

* Line Non stick Sole plate Dry Iron*

Made in India🇮🇳
✅ Nguvu: *750W*
✅ Aina: Pasi ya kawaida (Dry Iron)
✅ Sahani ya chini: Imefunikwa na non-stick kwa kuteleza vizuri na *haishiki Nguo* hata moto ukiwa mkali
✅ Joto: Inapasha haraka kwa matumizi ya haraka
✅ Waya: Waya unaozunguka kwa nyuzi 360° kwa urahisi wa kutumia

✅ Inafaa kwa: Kazi za kila siku za kupiga pasi kwa ufanisi na urahisi.
Price:38,000/=
📍Tunapatikana Kariakoo mtaa wa Agrey na Sikukuu, Mikoani tunatuma kwa Uaminifu mkubwa kwa Gharama za mteja, Dar es Salaam tunafanya delivery kwa gharama za mteja
Wa.me/225658115971
KARIBUNI NA ASANTENI🙏

🔺High Performance Electric Juicer (JH-3028)*Hili ni Bonge la Juicer Maalum kwa ajili ya kukamua juisi halisi kutoka kwen...
29/01/2026

🔺High Performance Electric Juicer (JH-3028)*
Hili ni Bonge la Juicer Maalum kwa ajili ya kukamua juisi halisi kutoka kwenye matunda na mboga mboga huku ikitenganisha mabaki (pulp).
✅Muundo: Imetengenezwa kwa chuma kisichopata kutu (Stainless Steel) kwa ajili ya uimara na usafi.
✅ Nguvu na Uwezo: Ina injini imara inayoweza kusaga hata matunda magumu kwa urahisi.
Price: 145,000/=
Wa.me/255658115971

*Manual Min-Food Cutter/Chopper*Price: 15000/=Wa.me/255658115971
05/01/2026

*Manual Min-Food Cutter/Chopper*
Price: 15000/=
Wa.me/255658115971

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255658115971

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JOJO ALL DECO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category