21/04/2026
Uleaji wa vifalanga wa vifalanga ni sanaa na sayansi pia ndani yake kitendo cha hatua ya kulea vifalanga maana yake unakuwa umechukuwa jukumu la tetea maana yake wewe ndio unasimama kuwapatia mahitaji yote ya msingi yanayohitajika mfano Joto, chakula ulinzi n.k
Unaposhiindwa kutimiza majukumu ya msingi yakuwa tetea maana yautapoteza idadi kubwa ya vifalanga.
Ukishindwa jukumu hili itakubidi uwende ukauziwe vifalanga waliovuka kipindi cha utoto yaan old chick Chick
Unapotaka kufanikiwa katika uleaji na utunzaji wa vifalanga ni lazima usahau kabisa swala la kulala au kupenda usingizi yaani ujitoe usiku na mchana ili kuhakikisha vifaranga Wana maji ya kutosha, chakula ,Mwanga ,hewa ,pamoja na Joto lipo la kutosha hapo ndipo utafaulu.
Lazima huwe muangalifu sana hata k**a umemuweka mtu badala yako lazima huakikishe hiyo kazi hawe anafahamu anachokifanya na kuipenda kazi .
Husiwe mtu ambaye unaweka chakula na kuondoka hapana lazima huwe ufatiliaji wa maendeleo yao k**a Kuna changamoto. ili uweze kuitambua na kuikabili mfano k**a Sio mtu ambaye ni mfuatiji wa VIFARANGA wako hautaweza kugundua hatari ya maambukizi ya mafua bubu, wadoludu hatari nnge ,nyoka kwahiyo lazima huwe mfatiliaji wa mladi wako
pia hata ikiwemo kuwahesabu na kurekodi matukio mbalimbali katika shamba.
Japo ninajuwa uleaji wa vifalanga ni kitu kigumu kwa wafugaji wengi .
Jambo ambalo utakiwa kujuwa ni kwamba jitahidi Wiki mbili za mwanzo kuwa muangalifu na kuwa macho maana hizi ndizo wiki za kupambana sana maana vifalanga wengi wanadondoka katika wiki hizi mbili za mwanzo
Jambo jingine la kuzingatia ni kwamba kifalanga anapokosa Joto la kutosha huweza kusababisha tatizo la almonia ambapo hakuna Tiba hamna yake na mwisho vifalanga kuweza kufa kwa muda mchache
Vile vifalanga wakikosa Joto vifo vingi hutokea kutokana kulaliana kwasababu ya kutafuta Joto
Jambo la mwisho la kuzingatia ni kwamba
k**a umeamua kuingia kwenye sekta hii ya ufugaji ni lazima uakikishe unaweka muda wako wa kutosha pamoja na pesa na umaanishe ili uweze kuona matunda ya uwekezaji wako bila hivyo utawachukia kuku hata ukiwaona njiani .
Follow page kp farm
0694103055 mwanza